spurs 2 - 0 Man united : Mambo matano yaliyo ongelewa kutokana na mchezo huu

Tottenham Hotspur walijipatia goli la kwanza la mapema kabisa kabla dadika ya kwanza kuisha kupitia Eriksen, na la pili kupitia Jones baada ya kujifunga na kupelekea Manchester united kuchezea kichapo cha magoli 2 - 0, kuna mambo matano yaliyo ongelewa kutokana na mchezo huu... 

Bonyeza hapa ili kuendelea kusoma habari hii👇👇