USIKATE TAMAA TUTAFIKA.

Image result for youth african
Je ushAkaA ukafikiria jinsi binadamu tunavyounganishwa pamoja katika namna tofauti na  sana.
Kila kitu kinachokutokea kwenye maisha tambua huwa kina maana kubwa, tunaomba mungu tu mambo mabaya yasitujie, mungu huwa na njia nyingi sana za kutufanya Tu mkumbuke yeye katika nafasi zetu za maisha.
Kijana na kazi.
HEBU LEO TUJIULIZE NAMNA VIJANA WANAO NA TULIOMALIZA CHUO TUNAVYOPATA CHANGAMOTO KATIKA KUYAANZA MAISHA YA KUJITEGEMEA NA KUWA EGEMEO KWA WENGINE WALIO CHINI YETU.
MAMBO YAFUTAYAO NI BADHI YA MAMBO NILIYO JIFUNZA BAADA YA KUMALIZA CHUO KUNIWEZESHA KUANZA KUWA MwANFUNZI WA MAISHA NA MAENDELEO BINAFSI.
ü  JICHANGANYE NA WATU WOTE USIBAGUE.
ü  PENDA KUONGELEA TATIZO LAKO NA WATU WENGINE UTAONA MAFANIKIO.
ü  JIFUNZE KUANZA KUWEKA MAWAZO YA KUTUNZA FEDHA.
ü  USIKATE TAMAA.
ü  SAIDIA WENGINE KATIKA NAFASI YAKO.
ü  TUMIA KIPAJI CHAKO.
ü  FUATA NDOTO YAKO YA MDA MREFU.
ü  JITAHIDI KUPATA WATU WALIOKUZIDI ELIMU MAARIFA ZAIDI YAKO.
n.b ni vizuri kufahamu kuwa katika kila jambo kuna maendeleo hata katika hatua ndogo, sijafika nakualika nawe uwe shujaa katika safari hii.
 Image result for youth african