WANYAMA KUMI HATARI ZAIDI DUNIANI



BAADHI YA WANYAMA TUNAOWAJUA KUWA NI WAZURI KWA MWONEKANO AU UMBO, NI BAADHI YA WANYAMA HATARI ZAIDI DUNIANI KWA  KUSABABISHA VIFO KWA WANADAMU KWA NAMNA ZIFUATAZO.

1.DOLPHIN- HUZAMISHA  NDANI YA  MAJI BILA YA KUWA NA SABABU MAALUMU(WAKIAMUA TU)

2.MBWA- KUNGATA WATU

3. SOKWE MTU- HOUONGOZA KWA KUSHAMBULIA WATU USONI NA MIKONI HADI KUWAUA

4. DUBU-- HUWEZA KUVUNJA VUNJA MIFUPA YA WANADAMU KWA KUNGATA NA MENO YAO

5. TEMBO- HUONGOZA KWA  KUWAUA  BINADAMU KWA KUWA VUNJA VUNJA

6. PWEZA- WENYE RANGI RANGI HUWA NA SUMU KALI MABAYO HUSABABISHA KIFO KWA BINADMAU

7. VYURA--- WANASUMU KALI HASWA VYURA WENYE RANGI ZA BLUE PAMOJA NA GOLD HUWEZA KUUWA WATU 20 NA KWA DAKIKA CHACHE TU.

Soko la Ajira

Soko la ajira limekumbwa na changamoto nyingi sana Tanzania, haswa kwa wananchi waliokuwa wanatarajia kuajiriwa katika sekta rasmi za serikali pamoja na sekta binafsi kutokana na ubadilikaji wa sera ya nchi,

Mabadiliko katika nyanja zote ni muhimu ili jamii iweze kuishi vyema, bila mabadiliko yenye mauvumivu kidogo kwa ajili ya kupata mafanikio yasiyoisha kwa nchi nzima kwa siku za mbeleni hatuwezi kufika mbali,  KUTOKA KWA MWANDISHI CHARLES DARWIN  1864 ,mabadiliko hutokea na ni lazima yatokee, ila watu wawezao kupita salama katika mfumo wa mabadiliko sio wenye fedha san, sio wenye akili sana, sio wenye vyeo sana, ila wale wenye uwezo wa kundeana na mabadiliko.

 Je mi na wewe tunaweza kupitaje katika kipindi hiki cha mabadiliko hilo ni swali kubwa tunalopaswa kujiuliza, bila shaka fikra za kuweza kuendana na mfumo ni niyngi je twaweza, kufanikiwa

 jibu langu ni ndiyo,  pale tu tutakapoendana na mabiliko na kuangalia fursa zinazopewa kipaumbele na madhumuni ya mabadiliko.
  Image result for positive change for development