FURSA UZALISHAJI WA MIWA

Kutokana na ongezeko la watu na ukuaji wa kipato miongoni mwa watanzania, ukuaji wa soko la sukari Tanzania unakadiriwa kufikia asilimia 6% kwa mwaka. Upungufu wa usambazaji wa sukari kwa sasa unakadiriwa kufika tani 300,000.
Takwimu hizi zinategemewa kupanda kwa kasi kwa sababu wazalishaji wa sukari waliopo hawajaongeza uwezo wao wa kuzalisha kulingana na ukuaji wa mahitaji. Mbali na upungufu huo ndani ya Tanzania, upungufu wa sukari kwa soko la Afrika Mashariki unakadiriwa kufikia tani 400,000 kwa mwaka. Kwa kuzingatia hayo uzalishaji wa sukari ni fursa ambayo wajasiriamali kwa ujumla wanatakiwa kuitumia ili kujiongezea kipato. Mikoa kama Kagera na Morogoro ndio mikoa ambayo kilimo cha miwa kinashamiri vizuri.

ufugaji wa kuku wa kienyeji



Ufugaji wa kuku wa kienyeji(kuku Asili): kanuni bora za ufugaji

        1 comment:
Dondoo za ufugaji bora wa kuku wa asili

Ufugaji wa kuku wa asili ni nyenzo muhimu katika kupambana na wimbi la umasikini kwa kuongeza kipato cha kaya. Hata hivyo, pamoja na soko la uhakika, bado ufugaji kuku haujaweza kutumika ipasavyo kupambana na umaskini unaowakabili Watanzania wengi. Ni mazoea kwa jamii nyingi hapa Tanzania kufuga kuku wa asili kama sehemu ya mila na desturi zao. Kuku wa asili amekuwa akifugwa bila ya kupatiwa huduma muhimu kama makaazi bora, chakula cha ziada, tiba, kinga za magonjwa mbali mbali. Muhtasari huu unatoa muongozo wa ufugaji wa kuku wa asili ili uweze kuzalisha na hatimae kukuza kuku kwa wingi.
 http://ufugajimakini.blogspot.com/
Dondoo ya 1
Usafi wa vyombo na mazingira ya kuku
Uchafu ni mama wa magonjwa, hivyo zingatia haya;
1.  Vyombo vya chakula na maji visafishwe mara kwa mara kwa maji safi na sabuni.
2.  Pumba au chakula kilicholowana na kuchanganyika na kinyesi cha kuku kitolowe na kufukiwa.
3.  Choma moto au zika kwenye shimo refu kuku waliokufa kwa ugonjwa.
4.  Usifuge kuku na ndege wa jamii nyingine kwa mfano bata katika banda moja.
5.  Ondoa mbolea mara kwa mara kutoka katika banda la kuku.
6.  Tumia dawa za kuulia vimelea kusafishia banda na upake chokaa angalau mara moja kwa mwaka.
7.  Ziba matundu yote yanayoweza kuruhusu panya na wanyama wakali kama vicheche kuingia katika banda la kuku.
Dondoo ya 2
Magonjwa na kinga kwa kuku wote
Ndui ya kuku
Huathiri sana vifaranga wanaokua na ujitokeza kwa wingi wakati wa mvua za muda mrefu. Husababisha vivimbe katika uso/ kishungi na hata sehemu nyengine zisizo na manyoya.
Mdondo/kideri
Mdondo, au kwa majina mengine lufuo, au kideri ni ugonjwa hatari katika magonjwa ya kuku wa asili. Ni ugojwa wa virusi ambao huathiri kuku wa rika zote, huweza kuangamiza kuku wote kijijni.
Ukosefu wa vitamini A
Ugonjwa huu husababisha macho kuvimba na kutoa uchafu mziito kama sabuni iliyolowana. Kuku wenye dalili hizi hawaponi na hata kufa. Ugonjwa hujitokeza baada ya kipindi kirefu cha kiangazi kwa ajili ya ukosefu wa majani mabichi.
Kosidiosisi
Huathiri kuku wa umri wowote lakini huuwa zaidi vifaranga na kuku wanaokua. Kuku hudhoofika, manyoya huvurugika na kuku huwa kama wamevaa koti. Kuku huarisha damu au kinyesi cha kahawia na huzubaa na kuonekana kama wamevaa koti.
Viroboto, chawa na utitiri
Hawa ni wadudu wa nje wanaoshambulia ngozi. Huweza kusababisha ugonjwa kutokana na kunyonya damu. Viroboto hushambulia kichwa na kunata huku wakinyonya damu. Viroboto huuwa vifaranga. Chawa na utitiri hughasi kuku hadi wakashindwa kutaga na kuatamia.
Minyoo
Minyoo huweza kudhofisha kuku na kuwafanya waweze kuugua maradhi mengine kirahisi. Muone mtaalaam ukihisi kuku wako wana minyoo.
Dondoo ya 3
Chakula cha ziada
1.  Wapatie vifaranga nyongeza ya protini kwa kuwachanganyia vumbi la dagaa au vichwa vya dagaa vilivyotwangwa kwenye pumba za mahindi.
2.  Changanya kikombe kimoja cha vumbi la dagaa na vikombe vitano vya pumba za mahindi (tumia kikombe kidogo cha chai).
3.  Mchwa na wadudu wengine wanaweza kutumika kama nyongeza ya protini.
4.  Vuna mchwa kwenye vichuguu au tengeneza mchwa katika njia za mchwa.
5.  Kutengeneza mchwa: changanya kinyesi cha ng’ombe na majani makavu, mabua ya mahindi au maranda ya mbao katika chungu au ndoo ya zamani.
6.  Mwagia maji hadi kila kilichomo kilowane kisha weka katika chombo kama ndoo au chungu. Weka chombo chako katika njia ya mchwa ukikigeuza juu chini na subiri hadi kesho yake asubuhi, kisha beba vyote vilivyomo na uwamwagie kuku mahali walipo.
Dondoo ya 4
Utotoleshaji wa vifaranga
Chagua jogoo bora na tetea bora kuzalisha kuku.
Sifa za jogoo bora
1.  Awe na umbo kubwa, awe ukiko mzuri na usioangukia upande mmoja.
2.  Apende kuwa na himaya yake. Ukimpata jogoo mwenye sifa hizi mueke yeye na matetea kumi. Hivyo ukiwa na matetea ishirini jogoo wawili wanatosha.

Sifa za tetea bora
Tetea bora ni yule mwenye umbo kubwa, mwenye uwezo wa kutaga mayai ya kutosha, kuatamia na hatimaye kutotoa vifaranga.
Uhifadhi wa mayai
1.  Weka mayai mahali safi na penye hewa ya kutosha.
2.  Tumia kasha lililokatwa na kujaza mchanga mkavu na safi au kasha la kuhifadhia mayai.
3.  Weka sehemu butu ya yai iwe upande wa juu na ile iliyochongoka itizame chini.
4.  Andika namba au tarehe katika siku lilipotagwa.
5.  Mayai yakishatagwa yatolewe na kuhifadhiwa na moja liachwe kwenye kiota ili kumuita kuku kuja kutaga kesho yake.
Kuatamiza mayai
1.  Kuku awekewe mayai yatakayokuwa na uwezo wa kuyaatamia na kuyatotoa yote.
2.  Mayi 10 hadi 12 yanatosha kuatamia.
3.  Mayai ya kuatamiza yasizidi wilki 2 toka kutagwa.
4.  Yai la mwisho kutagwa liwe la kwanza kuchaguliwa hadi yapatikane mayai 10 mpaka 12, na apewe kuku wa kuyaatamia.
5.  Mayai ya kuatamiza yasafishwe kwa kitambaa kikavu na safi au kilichowekwa spiriti
Kutotolesha vifaranga wengi kwa wakati mmoja
1.  Kama unataka kuku zaidi ya mmoja watamie na kutotoa kwa mpigo fanya yafuatayo;
2.  Kuku wa kwanza akianza kuatamia muwekee mayai yasiyo na mbegu mfano mayai ya kuku wa kisasa au kuku asiye na jogoo.
3.  Rudia zoezi hilo hadi utakapofikisha kuku watano kisha wawekee kuku wote mayai yenye mbegu.
Dondoo ya 5
Matunzo ya vifaranga ili kuzuia vifo
Vifaranga wengi hufa kabla ya kufikisha miezi miwili kutokana na magonjwa, baridi na kuliwa na wanyama wengine. Ili kupunguza vifo vya vifaranga wa siku 1 hadi miezi miwili zingatia yafuatayo;

Ulinzi dhidi ya mwewe na wanyama wengine
1.  Weka vifarang kwenye tega na kuwafunika ili wasinde mbali wakati wa mchana. Wape maji na chakula. Hakikisha hawapigwi jua wala kunyeshewa mvua. Wakati wa usiku walale na mama yao.
Chanjo ya mdondo kideri/lufuo
Kama tetea alichanjwa kabla ya kuanza kutaga vifaranga wanaoanguliwa huwa na kinga ya mdondo ya kuwatosha kwa wiki 3 za kwanza za maisha yao. Wachanje vifaranga hao dhidi ya mdondo wafikishapo umri wa siku 18.
Vifaranga ambao historia ya chanjo ya mama haijulikani, wapewe chanjo ya mdondo siku tatu baada ya kuanguliwa, rudia hadi wakifikisha wiki tatu kisha uchanje kila baada ya miezi 3
Kinga dhidi ya kosidiosisi
Kinga ya kosidiosisi kwa vifaranga, itolewe hata kama ugonjwa haujajitokeza.
1.  Wape dawa ya amprolium kwa muda wa siku tatu mfululizo mara wafikishapo siku saba tokea waanguliwe kama kinga ya kosidiosisi.
2.  Dawa inaweza kutolewa hata kama wamevuka umri huo. Fuata maelekezo ya mtaalam juu ya kiasi cha dawa kinachopaswa kuchanganwa katika maji au pumba
3.  Kama vifaranga wadogo wataonesha dalili za kuzubaa kama kuvaa koti wapewe dawa ya amprolium kwenye maji kwa utaratibu ufuatao;
Dawa siku tatu mfululizo: usiwape kwa siku mbili; gawa tena kwa siku tatu

Hitimisho
1.  Hakikisha banda na vyombo vya chakula cha kuku ni visafi kuepusha magonjwa.
2.  Usichanganye kuku na bata katika banda moja
3.  Lisha chakula cha ziada hasa kwa vifaranga.
4.  Kideri, kosidiosisi, ndui na upungufu wa vitamini A ni vyanzo vikuu vya vifo vya kuku wako. Kumbuka kukinga kuku wako dhidi ya magojwa haya.
5.  Kumbuka kuchagua mayai ya kuatamiza kama ilivyoelekezwa ili kuepuka kupata mayai viza.
6.  Vifaranga wadogo hadi wiki nane huhitaji matunzo mazuri, fuata maelezo kuzuia vifo.
7.  Kumbuka ukiuza kuku wengi kwa mpigo utaongeza mapato yako, jitahidi kuzalisha vifaranga kwa wingi ili upate kuku wengi baadae.
8.  Muone mtaalam wa mifugo ulie karibu nae kwa ushauri zaidi.
9.  Soma maelezo haya mara kwa mara na ufanye yalioelekezwa.
10.              Washirikishe wengine katika kaya yako ili nao wajifunze na kufanya hivyo kukuza ufugaji na kipato cha familia.




CREDITS TO KAVISHE VICTOR


Ni siku nyingine

Tutambue maisha bila malengo ni zaidi ya kuku aliye katwa kichwa.

Tuongee ukwel , binadamu sikuzote hapendi kujipa tabu hasa linapokuja suala la kufikiria nanja za maendeleo

Ni rahisi zaidi kuangalia movie  kupiga stori na kuacha saa 24 zipite  bila kuweka alama katika maisha.

Naam kwa tathimini za kisayansi ubongo ndo chanzo cha yote, nikiwa na maana kwamba
Ubongo huchochea homoni zinazo sababisha flite katika mwili wa mtu hivyo

Humkinga mtu na hali yeyote inayoonekana itamsumbua.

Ila je upo teyari kupigana na fikra za kujikinga na kuanza kuwaza mawazo chanya ya kuunda kesho.

mda tulionao ni sasa Amka kwa ari mpya ,


Soma zaidi.... Ili kujua fursa zilizo orodheshwa kwenye blog hiii.... Naam uzikifie pia na kuzitumia ipasavyo (kuzifanyia kazi).
Read..


Ufugaji wa kuku wa kienyeji.... Na bila shaka usisahau kumkaribisha na mwingine.


JUHUDI

Mungu anamakusudi yake kukuweka hapo ULIPO,usiwe mtu wa kulalamika kwa kila jambo linalokutokea,
Mana hakuna mchezaji wa mpira yeyote yule ambaye akishika mpira anafunga goli moja kwa moja,lazima kuna watu ambao watakua wanamzuia ili asilifunge gori,ila juhudi zake,maarifa yake na kujiamini kwake ndio kutamfanya ALIFUNGE GORI.

Ivo Unapoweka lengo lolote lile pia kaa ukijua kwamba na vizuizi (Changamoto) pia zipo, ivo isilalamike zinapokutokea.
Badala yake fanya kila njia ili uweze kuishinda,
KULALAMIKA ni dalili ya kwamba wewe huna uwezo wa kukabiliana na ilo Jambo lililokutokea.

Credit to Mr mikazi,

TAFUTA KAZI NA VODACOM GROUP


Candidates applying for roles at Vodacom will be taken through a number of steps, from submitting their CV and completing online assessments to telephone and face-to-face interviews.
Preparing your CV
Your CV is an important part of your application to Vodacom and is your first opportunity to demonstrate your qualities and achievements. This makes it easier for us to determine where you might best fit within our organisation.
Begin your CV with a brief summary of your skills, accomplishments and career goals. Follow this with your employment history and work experience, starting with your most recent role. Include full details of your employers, dates, job titles and responsibilities.
This can be provided in the format of a PDF document or Microsoft Word documents alternatively text formats are acceptable. All resumes and related materials (transcripts, etc.) should be submitted in English.
Next, give details of your qualifications such as the university, college or school you attended, your qualifications and grades and any work-related courses taken. Start with the most recent and work backwards, using bullet points or a table. Finally, mention any hobbies or interests that have a particular relevance to the role or graduate programme for which you are applying.
You should:
Ensure your contact details are up to date and that the CV is no more than two pages long.
Use the "save as draft" tool if you are applying online and do not have enough time to complete the application in one go
Ensure you are familiar with the information submitted on your application and keep a copy of your CV to read before your interview.
Telephone interviews
We often conduct a short telephone interview to assess candidates' compatibility with our values, as well as their general skills and motivation for applying. This will last approximately 45-60 minutes and is conducted by an experienced interviewer. You should put in the same amount of preparation as you would for a face-to-face interview.
The interviewer will ask you a serious of competency based questions. These can be answered by telling us about specific occasions when you have demonstrated a particular skill.
You should:
If using your mobile phone, ensure it has enough battery life remaining.
For each example, explain: the situation you faced; the specific task required of you; the action that you took; the result of this action; and learning's taken away.
Give direct and honest answers.
Listen carefully and speak clearly, politely and confidently. Remember that you will not be able to make eye contact or use body language.
Pause for a moment if you need time to think through your answers.
Face-to-face interviews
Make sure you arrive early and are fully prepared. This includes dressing appropriately and bringing your CV and any other required documents. Confirm the interview time and location in advance so there can be no confusion.
Know your strengths and be prepared to give examples of when you have demonstrated relevant skills. Focus on your role in these situations and the outcomes, without exaggerating. Make sure the interviewer knows that you are enthusiastic about the opportunity to work at Vodacom.
You should:
Take a moment to think before answering each question
If you don't understand a question, ask the interviewer to repeat it
Ask when you can expect feedback
If you are successful at face-to-face interview, we will contact you and let you know what happens next.
Online assessment
Once you have successfully completed your application, we may send you a link to a website containing some online assessments. These are designed to identify whether you have the skills required for the role and to assess your suitability for working at Vodacom. The number and type of assessments will depend on the role you are seeking.
You can take the assessments at any time within a fixed number of days, as specified in the email. Once you start, you will need to complete each assessment within a set time limit.
You should:
Complete some of the practice questions supplied before you begin
Only start the assessments when you are sure you can give them your undivided attention
Use the contact details supplied to let us know if you experience any technical problems

                                   BONYEZA HAPA KUTEMBELEA

                                      CREDIT  TO VODACOM









TUTAMBUE FURSA ZILIZOPO KATIKA URAFIKI WA TANZANIA NA DENMARK NA JINSI UNAVYOWEZA KUNUFAIKA

Kutambua fursa katika maisha ni jambo la kwanza, jambo la pili ni kuifikia fursa husika. Bila kufahamu fursa husika na kutambua faida zake na jinsi ya kuifikia, huwa vigumu mtu kuzitumia fursa husika kikamilifu.


Hivyo basi tutakusogezea fursa mbali mbali zilizopo kwenye mazingira yako, ibaki kazi kwako kutafakari na kuchuku hatua.

Siku ya leo tutaangazia fursa zilizopo kati ya urafiki wa TANZANIA NA DENMARK  ni matumaini yetu utapata jambo lingine siku ya leo.


                                                   BONYEZA >HAPA< KUSOMA

TUMULIKE MAISHA YETU

Amin usiamin maisha ya binadamu yana usumaku mkubwa ambao ni vigumu kuufahamu.
Mifano mingi ikiwapo  binadamu kuwa na lengo na kusudi lake huku duniani. Maisha haya ya binadamu huongozwa na imani, yaaani imani ya kiumoja na wingi.

Imani ya kiumoja.
Ni imani ya kutumai jambo fulani mtu kama  mtu na kutegemea jambo husika kutokea.

Imani ya wingi
Ni imani inayojumuisha kundi la watu ambao huamini jambo fulani kwa pamoja. Naaam imani ya wingi huchimbusha Dini.

Hivyo misingi ya dini fulani huzingatia imani fulani kujiendesha.

Naaaaam imani nyingi zilizoko duniani huwa zinaangalia mema, naam fanya mema kulinda imani yako husika.

MAMBO SABA 7 YA KUFANYA KILA SIKU UAMKAPO




  • Siku zote ubongo hutuongoza kufanya vitu vyenye kutufurahisha ambavy havitujengi navo huchochea uvivu.Ni kazi yangu kama binadamu kuongoza ubongo wangu naam ni yako pia.


Amka mapema

Jiepushe na visingizio

Fanya yaliyohaki kwa wakati husika

Wape moyo wengine

Tambua nguvu ya kufikiria

Tengeneza mawazo mapya

Naaaanza siku kwa ushujaa.