TUTAMBUE FURSA ZILIZOPO KATIKA URAFIKI WA TANZANIA NA DENMARK NA JINSI UNAVYOWEZA KUNUFAIKA

Kutambua fursa katika maisha ni jambo la kwanza, jambo la pili ni kuifikia fursa husika. Bila kufahamu fursa husika na kutambua faida zake na jinsi ya kuifikia, huwa vigumu mtu kuzitumia fursa husika kikamilifu.


Hivyo basi tutakusogezea fursa mbali mbali zilizopo kwenye mazingira yako, ibaki kazi kwako kutafakari na kuchuku hatua.

Siku ya leo tutaangazia fursa zilizopo kati ya urafiki wa TANZANIA NA DENMARK  ni matumaini yetu utapata jambo lingine siku ya leo.


                                                   BONYEZA >HAPA< KUSOMA