MAMBO SABA 7 YA KUFANYA KILA SIKU UAMKAPO




  • Siku zote ubongo hutuongoza kufanya vitu vyenye kutufurahisha ambavy havitujengi navo huchochea uvivu.Ni kazi yangu kama binadamu kuongoza ubongo wangu naam ni yako pia.


Amka mapema

Jiepushe na visingizio

Fanya yaliyohaki kwa wakati husika

Wape moyo wengine

Tambua nguvu ya kufikiria

Tengeneza mawazo mapya

Naaaanza siku kwa ushujaa.