jose mourinho amthibitisha Alexis Sanchez atajiunga Man utd kutokea Arsenal.. japokuwa mchile huyo bado anafanya mazoezi chini ya wenger

JOSE MOURINHO amethibitisha kuwa Manchester United inakaribia kukamilisha mpango huo Wa kumsajili Alexis Sanchez - na mshambuliaji huyo Wa Chile anaendelea kufanya mazoezi akiwa Arsenal.

Na taarifa kuhusu Henrikh Mkhitaryan kutakiwa kuelekea anapotoka Sanchez imekuwa ikivuma tokea wiki iliyopita.
Arsene Wenger akiwa na Sanchez ambae anatarajia kuelekea Manchester united hivi karibuni mapema Leo.
Alexis Sanchez alikuwa katika mazoezi Arsenal mapema leo licha ya kukaribia hatua za mwisho kabisa za mpango Wa kuhamia Old Trafford

bosi Wa mashetani wekundu hao sasa kuwa alikubali mpango huo ni imminent, na Mkhitaryan hatakuwa katika kikosi kwa ajili ya kesho wenye mchezo dhidi ya Burnley.

Akizungumza pia kuhusu safari ya united kuelekea Turf Moor, alisema: "nadhani ni wazi kila mtu anajua kwamba sisi ni pale na hasa wakati bosi Wa Arsenal aliongea na kuweka wazi Kama vile alivyofafanua.

"Hivyo siwezi nikajaribu kuficha au kukataa.

"Katika wakati huu Mkhitaryan ni mchezaji wetu,Sanchez wa Arsenal mchezaji na mechi ya kesho nataka kuachana na swala hili na kuzingatia jambo la muhimu zaidi, ambalo ni mechi.


                          [The sun]