A BLOG THAT BASES ON EXPLORING VISION, DREAMS AND ARCHIVING THE SELF POTENTIAL AWARENESS AND PROPER SELF ABILITY FOR SELF DEVELOPMENT OF AN INDIVIDUAL AND COMMUNITY AS WHOLE
Jiambie mambo matano kila siku asubuhi:
1.Mimi ni zaidi ya wote.
2.Naweza nikafanya.
3.Kila wakati Mungu yupamoja nami.
4.Mimi ni mshindi.
5.Na leo ni siku yangu.
-Dr.A.P.J Abdul Ka...
Tottenham Hotspur walijipatia goli la kwanza la mapema kabisa kabla dadika ya kwanza kuisha kupitia Eriksen, na la pili kupitia Jones baada ya kujifunga na kupelekea Manchester united kuchezea kichapo cha magoli 2 - 0, kuna mambo matano yaliyo ongelewa kutokana na mchezo huu...
Bonyeza hapa...
OKama kuna mwezi ambao unaongoza kwa kulaumiwa na kulalamikiwa kwenye miezi 12 ya mwaka, basi ni mwezi Januari. Watu wengi huwa na malalamiko kuhusu mwezi huu, na hata wengine ambao hawana sababu zozote za kushindwa kufanya kitu, basi mwezi huu huwa sababu kwao.
Mwezi huu pia umekuwa unatumika kwa utani...
Ikiwa dirisha la uhamisho linaenda ukingoni ambapo Adi kufikia saa tano usiku litakuwa limefungwa, leo kuna baadhi ya sajili zimefanyika ikiwa ni pamoja na Aubameyang kusajiliwa Arsenal, Giroud kwenda Chelsea na Batshuay kujiunga na Dortmund.
Bonyeza hapa kuendelea kusoma habari hii...
Pierre- Emerick Aubameyang amesema atajitahidi kuwa Kama Thierry Henry ndani ya Arsenal baada ya kukamilisha taratibu zote za kuhamia katika timu hiyo.
Bonyeza hapa kuendelea kuisoma habari hii 👇👇
http://www.skysports.com/football/news/11670/11230605/aubameyang-i-want-to-be-like-henry...
"Kitabu kimoja kizuri Sana ni sawa na marafiki wazuri (Wakweli) Mia moja, lakini pia Rafiki mzuri (mkweli) mmoja ni sawa na maktaba"-Dr. A. P. J Abdul Kalam
...
Leo kutakuwa na mtanange kati ya Tottenham Hotspur wakiwakaribisha Manchester united baada ya kufungwa goli 1 : 0 ndani ya Old Trafford mwaka Jana. Zifuatazo ni taarifa za awali za timu hizo mbili na utabiri kabla ya mchezo huo kuanza..hapo baadae
Bonyeza hapa ili uendelee kusoma habari hii 👇👇...
"Kujiamini na Kufanya kazi kwa bidii, ni dawa nzuri ya kukuondoa katika ugonjwa unaoitwa kushindwa, na kukufanya kuwa ni mtu mwenye kufanikiwa" -A. P. J Abdul Kalam
...
Mashabiki Wa Manchester united wamtolea ya moyoni mkhitaryan kupitia mitandao ya kijamii kutokana na kauli yake aliyo isema baada ya kuhamia Arsenal kwamba Anaipenda Arsenal kwasababu inacheza mpira Wa kutafuta ushindi na sio kuzuia tu (kupaki basi) na hiyo ni baada ya Arsenal kuchezea kichapo...
Katika mchezo uliochezwa Leo kati ya Swansea city na Arsenal ambapo Mkhitaryan ndo kaanza rasmi kuitumikia Arsenal, Na mchezaji ambaye tayari amekwisha uzwa Giroud kushindwa kuiokoa Arsenal baada ya kuingia ikiwa Arsenal ipo nyuma kwa goli Moja. Kuna mambo matano yaliyo ongelewa kutokana na mchezo...
Matokeo ya mechi sita za mwisho ya Tottenham Hotspur na ya Manchester united huenda yana ashiria matokeo yatakayo patikana siku ya kesho ambapo Tottenham wanamkaribisha Manchester United.
Bonyeza hapa ili kuona matokeo hayo 👇👇
http://www.skysports.com/football/tottenham-vs-man-utd/3733...
Katika uchambuzi Wa kabla ya mechi Arsenal yaonekana Ina nafasi kubwa zaidi ya kushinda dhidi ya Swansea city kutokana na sababu mbali mbali.
Bonyeza hapa ili usome habari kamili 👇👇
http://www.skysports.com/football/swans...
Mchezaji Wa PSG Lucas Moura amewasili London kwaajili ya kumalizia taratibu za kuhamia Tottenham Hotspur.
Soma hapa habari kamili 👇👇
http://www.skysports.com/football/news/11675/11228134/tottenham-target-lucas-moura-arrives-in-london-to-finalise-move-from-psg
...
Katika mzunguko Wa tano Wa kombe la FA, man city kuwafwata Wigan, Man United na Huddersfield au Birmingham.
Endelea kusoma habari hii hapa 👇👇
http://www.skysports.com/football/live-blog/13865/11227913/fa-cup-fifth-round-draw-l...
Mambo sita yaliyo onekana katika uwanja Wa mazoezi Wa Arsenal ikiwa Arsenal wanajiandaa kwa ajili ya mtanange dhidi ya Swansea katikati ya week hii ndani ya uwanja Wa Liberty (Liberty stadium).
Soma hapa habari kamili 👇👇
https://www.mirror.co.uk/sport/football/news/6-things-noticed-ars...
Wewe ni binadamu, wewe u na ndoto, unaupendo, u na changamoto, u na wakati tofauti katika maisha haya. Lakini wewe ni U na nguvu kuliko vyote ifikie fursa ikamate fur...
Michel Vorm, Eric Dier, Mousa Dembele na Dele Alli wahusishwa kuwa sababu moja wapo ya kutaka kupelekea Tottenham Hotspur kuchezea kichapo.
Soma hapa habari kamili 👇👇
https://www.thesun.co.uk/sport/football/5444121/newport-county-tottenham-scouting-report-fa-cup-reveale...
Arsenal wanakaribia kukubali kutoa kiasi cha kukaribia £60m kwaajili ya kumsajili Pierre Emerick Aubameyang kutokea Borussia Dortmund.
Soma hapa habari kamili 👇👇
http://www.skysports.com/football/news/11670/11227211/arsenal-close-to-agreeing-pierre-emerick-aubameyang-fee-with-borussi...
Timu husaidiana kuweka mambo sawa,
Kukumbushana, kuelekezana na kupeana majukumu mbalimbali katika jambo, utakuwa na uwezo sehemu moja na udhaifu katika jingine, tambua mchango wa wengine katika mustakabadhi wenu na muwezeshane nyote kukua..
...
Kitendo cha kujikuta unafumba fumba macho bila kutarajia (eyes blinking) ukijumrisha kwa siku nzima inakadiriwa ni sawa na ku fumba macho kwa muda Wa dakika 30.
[Did you kn...
*Picha hii haihusiani na tukio hilo*
Kuna mtindo mpya wa wizi umevamia Masherehe mbalimbali
Katika sherehe ya harusi ikiwa inaendelea majambazi uja na kuongea na MC wa harusi kuwa kuna gari namba fulani fulani nje ya ukumbi limezuia gari, hivyo MC utangaza na muhusika anapokuwa anatoka nje majambazi...
DE GEA kuongoza kwa kuwa na idadi nyingi ya kucheza bila kufungwa katika EPL
Ili kuona list hiyo ya makipa na idadi yao ya kucheza bila kufungwa bonyeza hapa 👇👇
https://www.transfermarkt.com/premier-league/weisseweste/pokalwettbewerb/GB1...
Klopp kuwashushia lawama wachezaji wake waliokuwa kataki safu ya ulinzi ndani ya mechi ya Jana ambapo walifungwa (3 kwa 2)
Soma hapa habari zaidi👇👇
http://www.skysports.com/football/news/11669/11225914/jurgen-klopp-criticises-liverpool-defence-after-west-brom-defeat...
Swali ziko.kuliko.lote je ni wapi uwekeze fedha zako?
1. Kilimo
2.Ufugaji
3.Benki
4. Forex
5.bitclub. ( nakudhauri zaidi juu ya hili soma juu ya hili upate asilimi 300% ya ulichowekeza)
Piga 0756650033
...
Ukifanya kilimo cha kwanza kufahamu ni yafuatayo
1. Zao linaharibika ndani ya mda gani
2. Soko lako lipo kwa kiasi gani
3. Ushindani wa zao husika sokoni
4. Hali ya hewa na athari zake katika kilimo
5.Uwekezaji wenye tija wa kiasi cha pesa
Ifikie fursa, Itendee haki
...
Tambua kuwa
Njia ya kufanikiwa katika biashara nikuwa katika biashara
Na
Ushindi ni matokeo ya kushindwa mara kwa mara, hivyo amka anza na ukianguka hakikisha unaangukia mbele
Ifikie fursa, Itende haki.
...
Manchester City wana mlenga mchezaji Wa Chelsea Eden Hazard kwa Ada kubwa ya £150million kwa ajili ya uhamisho katika majira ya joto.
Soma hapa habari zaidi 👇👇
https://www.mirror.co.uk/sport/football/transfer-news/manchester-city-target-chelseas-eden-11924...
Siku zoote usijaribu kuwa na fikra hasi au za kuogopa kufanya maamuzi katika akili yako kwasababu :
"Akili yako ni kama sumaku - hukivuta katika maisha yako chochote ambacho unakifikiria zaidi." Paulo na Tracey McMa...
January 26, 2018.Rais Kagame (Kushoto) na Rais Donald Trump wa Marekani wakutana mjini Davos, Uswizi. Ijumaa Januati 26, 2018.
Rais wa Marekani Donald Trump, Ijumaa alikutana na Rais wa Rwanda Paul Kagame na kumwita “rafiki” kufuatia maoni yenye utata anayodaiwa kutoa Trump kuhusu nchi za Afrika....
Alexis Alejandro Sanchez Sanchez alizaliwa Mwezi Wa 12 tarehe 19 mwaka 1988, pia anajulikana kwa kifupi Kama Alexis, Ni mchezaji mwenye uzowefu kutoka Chile ambaye anacheza mbele Kama mshambuliaji katika klabu ya uingereza Manchester united na Chile katika timu ya taifa. Na ifuatayo ni historia yake...