WANYAMA KUMI HATARI ZAIDI DUNIANI

BAADHI YA WANYAMA TUNAOWAJUA KUWA NI WAZURI KWA MWONEKANO AU UMBO, NI BAADHI YA WANYAMA HATARI ZAIDI DUNIANI KWA  KUSABABISHA VIFO KWA WANADAMU KWA NAMNA ZIFUATAZO. 1.DOLPHIN- HUZAMISHA  NDANI YA  MAJI BILA YA KUWA NA SABABU MAALUMU(WAKIAMUA TU) 2.MBWA- KUNGATA WATU 3. SOKWE MTU- HOUONGOZA KWA KUSHAMBULIA WATU USONI NA MIKONI HADI KUWAUA 4. DUBU-- HUWEZA KUVUNJA VUNJA MIFUPA...

Soko la Ajira

Soko la ajira limekumbwa na changamoto nyingi sana Tanzania, haswa kwa wananchi waliokuwa wanatarajia kuajiriwa katika sekta rasmi za serikali pamoja na sekta binafsi kutokana na ubadilikaji wa sera ya nchi, Mabadiliko katika nyanja zote ni muhimu ili jamii iweze kuishi vyema, bila mabadiliko yenye...