LIVE A PURPOSE TODAY

the most crucial element as human being is practicing helping other how to solve their problem we understand from our perspective that only thing that can be archived with grate execellency is helping other human to archive outmost best of their being. we understand that as human race we have limited...

USIKATE TAMAA TUTAFIKA.

Je ushAkaA ukafikiria jinsi binadamu tunavyounganishwa pamoja katika namna tofauti na  sana. Kila kitu kinachokutokea kwenye maisha tambua huwa kina maana kubwa, tunaomba mungu tu mambo mabaya yasitujie, mungu huwa na njia nyingi sana za kutufanya Tu mkumbuke yeye katika nafasi zetu za maisha. Kijana...

KIJANA WA SASA NA KAZI

BILA SHAKA KAZI NI MUHIMILI MKUBWA WA MAENDELEO KWA WATU WOTE KATIKA NCHI. ila kwa asilimia kubwa changamoto ya kupata kazi katika sekta rasmi nayo imezidi kuongezeka hasa kwa kuwa na ufinyu wanfasi hizo kwa miaka ya karibuni swali la kujiuliza lenye msingi mkubwa je kijana awezaje kujipatia kipato...

KANUNI ZA FEDHA

KANUNI UNAZOTAKIWA KUZINGATIA KUHUSU FEDHA. *KANUNI NO. 1* Kamwe usikope fedha na hasa ya riba kwa ajili ya kuanzishia biashara (isipokuwa kwa mkopo ambao marejesho yake yanatokana na mshahara. Hii ni kwa sababu biashara huchukuwa muda mrefu kusimama yenyewe na kuanza kupata faida wakati marejesho ya mikopo mingi huanza mwezi baadaye ama hata kabla. Hivyo kamwe usikope mkopo ili kuanzishia biashara...

WANYAMA KUMI HATARI ZAIDI DUNIANI

BAADHI YA WANYAMA TUNAOWAJUA KUWA NI WAZURI KWA MWONEKANO AU UMBO, NI BAADHI YA WANYAMA HATARI ZAIDI DUNIANI KWA  KUSABABISHA VIFO KWA WANADAMU KWA NAMNA ZIFUATAZO. 1.DOLPHIN- HUZAMISHA  NDANI YA  MAJI BILA YA KUWA NA SABABU MAALUMU(WAKIAMUA TU) 2.MBWA- KUNGATA WATU 3. SOKWE MTU- HOUONGOZA KWA KUSHAMBULIA WATU USONI NA MIKONI HADI KUWAUA 4. DUBU-- HUWEZA KUVUNJA VUNJA MIFUPA...

Soko la Ajira

Soko la ajira limekumbwa na changamoto nyingi sana Tanzania, haswa kwa wananchi waliokuwa wanatarajia kuajiriwa katika sekta rasmi za serikali pamoja na sekta binafsi kutokana na ubadilikaji wa sera ya nchi, Mabadiliko katika nyanja zote ni muhimu ili jamii iweze kuishi vyema, bila mabadiliko yenye...

FURSA UZALISHAJI WA MIWA

Kutokana na ongezeko la watu na ukuaji wa kipato miongoni mwa watanzania, ukuaji wa soko la sukari Tanzania unakadiriwa kufikia asilimia 6% kwa mwaka. Upungufu wa usambazaji wa sukari kwa sasa unakadiriwa kufika tani 300,000. Takwimu hizi zinategemewa kupanda kwa kasi kwa sababu wazalishaji wa sukari waliopo hawajaongeza uwezo wao wa kuzalisha kulingana na ukuaji wa mahitaji. Mbali na upungufu...