FURSA UZALISHAJI WA MIWA

Kutokana na ongezeko la watu na ukuaji wa kipato miongoni mwa watanzania, ukuaji wa soko la sukari Tanzania unakadiriwa kufikia asilimia 6% kwa mwaka. Upungufu wa usambazaji wa sukari kwa sasa unakadiriwa kufika tani 300,000. Takwimu hizi zinategemewa kupanda kwa kasi kwa sababu wazalishaji wa sukari waliopo hawajaongeza uwezo wao wa kuzalisha kulingana na ukuaji wa mahitaji. Mbali na upungufu...

Ni siku nyingine

Tutambue maisha bila malengo ni zaidi ya kuku aliye katwa kichwa. Tuongee ukwel , binadamu sikuzote hapendi kujipa tabu hasa linapokuja suala la kufikiria nanja za maendeleo Ni rahisi zaidi kuangalia movie  kupiga stori na kuacha saa 24 zipite  bila kuweka alama katika maisha. Naam kwa tathimini...

JUHUDI

Mungu anamakusudi yake kukuweka hapo ULIPO,usiwe mtu wa kulalamika kwa kila jambo linalokutokea, Mana hakuna mchezaji wa mpira yeyote yule ambaye akishika mpira anafunga goli moja kwa moja,lazima kuna watu ambao watakua wanamzuia ili asilifunge gori,ila juhudi zake,maarifa yake na kujiamini kwake ndio kutamfanya ALIFUNGE GORI. Ivo Unapoweka lengo lolote lile pia kaa ukijua kwamba na vizuizi (Changamoto)...

TAFUTA KAZI NA VODACOM GROUP

Candidates applying for roles at Vodacom will be taken through a number of steps, from submitting their CV and completing online assessments to telephone and face-to-face interviews. Preparing your CV Your CV is an important part of your application to Vodacom and is your first opportunity to demonstrate your qualities and achievements. This makes it easier for us to determine where you might...

TUTAMBUE FURSA ZILIZOPO KATIKA URAFIKI WA TANZANIA NA DENMARK NA JINSI UNAVYOWEZA KUNUFAIKA

Kutambua fursa katika maisha ni jambo la kwanza, jambo la pili ni kuifikia fursa husika. Bila kufahamu fursa husika na kutambua faida zake na jinsi ya kuifikia, huwa vigumu mtu kuzitumia fursa husika kikamilifu. Hivyo basi tutakusogezea fursa mbali mbali zilizopo kwenye mazingira yako, ibaki kazi kwako kutafakari na kuchuku hatua. Siku ya leo tutaangazia fursa zilizopo kati ya urafiki wa...

TUMULIKE MAISHA YETU

Amin usiamin maisha ya binadamu yana usumaku mkubwa ambao ni vigumu kuufahamu. Mifano mingi ikiwapo  binadamu kuwa na lengo na kusudi lake huku duniani. Maisha haya ya binadamu huongozwa na imani, yaaani imani ya kiumoja na wingi. Imani ya kiumoja. Ni imani ya kutumai jambo fulani mtu kama  mtu na kutegemea jambo husika kutokea. Imani ya wingi Ni imani inayojumuisha kundi la watu ambao...

MAMBO SABA 7 YA KUFANYA KILA SIKU UAMKAPO

Siku zote ubongo hutuongoza kufanya vitu vyenye kutufurahisha ambavy havitujengi navo huchochea uvivu.Ni kazi yangu kama binadamu kuongoza ubongo wangu naam ni yako pia. Amka mapema Jiepushe na visingizio Fanya yaliyohaki kwa wakati husika Wape moyo wengine Tambua nguvu ya kufikiria Tengeneza mawazo mapya Naaaanza siku kwa ushuja...