Uvivu uvivu hutokana na nini? Mtu unaposhindwa kufikirisha ubongo na kutenda maamuzi  dhabiti,  hiyo ni dalili ya uvivu. Tatizo hili linakuwa  kubwa kwa sababu mbalimbali tokana na teknologia, mtu huyu yupo radhi akae aangalie Tv, Movies, aende club lakini asifanye jambo lolote la...

FIKRA

Fikra  hata siku moja haziwezi zikawa sawa toka kwa mtu mmoja  na  hadi mwingine. Vivyo hivyo ilivyo kwa fursa mbali mbali katika maisha fursa moja huweza kumnufaishisha huyu nayo fursa hiyo hiyo ikashindwa kunufaisisha mwingine. Ni vyema tufahamu kuwa kama binadamu huwa tuna uwezo mkubwa...