KANUNI ZA FEDHA
KANUNI UNAZOTAKIWA KUZINGATIA KUHUSU FEDHA.
*KANUNI NO. 1*
Kamwe usikope fedha na hasa ya riba kwa ajili ya kuanzishia biashara (isipokuwa kwa mkopo ambao marejesho yake yanatokana na mshahara. Hii ni kwa sababu biashara huchukuwa muda mrefu kusimama yenyewe na kuanza kupata faida wakati marejesho ya mikopo mingi huanza mwezi baadaye ama hata kabla. Hivyo kamwe usikope mkopo ili
kuanzishia biashara...